TANGOZO

TANGOZO
Latest News
Tuesday, November 15, 2016

MADHARA YA KUTOFANYA TENDO LA NDOA KWA MUDAMREFU

Habari zenu, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya:


  1. Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo,
  2. kupendelea sana kuangalia picha za uchi,
  3. Kusahausahau,
  4. Kupendelea story za mapenzi,
  5. Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),
  6. Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu),
  7. Kuumwa na kichwa,
  8. Kukakamaa mgongo (wanaume),
  9. Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,
  10. Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency),
  11. Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,
  12. Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala
COMENT KIYU KUHUSU TAARIFA HII.
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: MADHARA YA KUTOFANYA TENDO LA NDOA KWA MUDAMREFU Rating: 5 Reviewed By: SIMAMA BUKOBA