Mrembo Amber Rose X wa Wiz Khalifa amesema kwamba hivi sasa hana mpango wowote wa kugombana na wanawake wenzake kugombania wanaume.
Amesema kuwa ameanza kubadili mwenendo wa tabia yake ili aweze kuwa mfano wa kuigwa mbele ya jamii.
Alisema kazi hiyo ataifanya baada ya kuwa na uhusiano kwa muda mrefu na baadhi ya wanaume ambao wameshindwa kumpa raha.
“Sitaka kuwa na presha ya ajabu,mimi najaribu kuanza tabia mpya,kila
siku mtu anaweza kupanga mipango yake ya maisha,nami nimeanza kwa
kufanya hivyo,”alisema.
0 comments:
Post a Comment