Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe
Job Ndugai alipofika kumsabai nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam. Spika
amerejea nchini hivi karibuni kutoka nchini India ambapo alikwenda kwa
ajilia ya uchunguzi pamoja na matibabu ya Afya yake.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Ndugai
pamoja na Mke wa Spika Dkt. Fatma Mganga (kulia) alipofika kumsabai
nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam. Spika amerejea nchini hivi karibuni
kutoka nchini India ambapo alikwenda kwa ajili ya uchunguzi pamoja na
matibabu ya Afya yake.
0 comments:
Post a Comment