TANGOZO

TANGOZO
Latest News
Friday, July 22, 2016

SAM ALLARDYCE MENEJA MPYA WA ENGLAND

Sam Allardyce ametangazwa rasmi kuwa meneja mpya wa timu ya taifa ya England.

Amekuwa meneja wa klabu ya Sunderland.

Allardyce, ajulikanaye sana kama Big Sam, ametia saini mkataba wa miaka miwili, ambao utampatia jukumu la kuandaa na kuongoza timu hiyo hadi mwisho wa Kombe la Dunia la 2018.

Anamrithi Roy Hodgson, aliyejiuzulu baada ya England kuondolewa kutoka kwa michuano ya ubingwa Ulaya nchiniUfaransa baada ya kushindwa na Iceland.

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: SAM ALLARDYCE MENEJA MPYA WA ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: SIMAMA BUKOBA