TANGOZO

TANGOZO
Latest News
Saturday, July 30, 2016

WASANII WAASWA KUZINGATIA MAADILI KATIKA UTENGENEZAJI KAZI ZAO

Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura akisalimiana na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi Joyce Fissoo wakati akiwasili katika hafla ya uzinduzi wa studio ya kisasa ya Wanene Entertainment Julai 29,2016 Jijini Dar es Salaam.

 Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura akisalimiana na mmoja wa wakurugenzi wa Wanene Entertainment Bw. Darish Pandit wakati akiwasili katika hafla ya uzinduzi wa studio ya kisasa ya Wanene Entertainment Julai 29, 2016 Jijini Dar es Salaam.

 Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura (kushoto) akimsikiliza kwa makini mmoja wa wakurugenzi wa Wanene Entertainment Bw. Bhadresh Pandit (kulia) wakati wa hafla uzinduzi wa studio ya kisasa ya Wanene Entertainment Julai 29, 2016 Jijini Dar es Salaam katikati ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi Joyce Fissoo .
 
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura (katikati) akizungumza jambo na wakurugenzi wa Wanene Entertainment Bw. Bhadresh Pandit (kushoto) na Bw. Darish Pandit(wa pili kushoto) wakati wa hafla uzinduzi wa studio ya kisasa ya Wanene Entertainment Julai 29, 2016 Jijini Dar es Salaam wa pili kulia ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi Joyce Fissoo na kulia ni mtayarishaji wa video kutoka kampuni ya Wanene Entertainment Bw. Hanscana. 

Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura (wa pili kulia) akikata utepe kuzindua studio mpya ya kisasa ya  Wanene Entertainment Julai 29, 2016 Jijini Dar es Salaam  wa pili kushoto ni mmoja ya wakurugenzi wa Wanene Entertainment Bw. Darish Pandit.  

Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura  (wa pili kulia) akiangalia moja ya vyumba vya kurekodia na kutengengeneza video vilivyopo ndani ya studio ya Wanene Entertainment mara baada ya kuizindua studio hiyo  Julai 29, 2016 Jijini Dar es Salaam kulia ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo.  

Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura (kulia) akipata maelezo kutoka kwa mmoja ya wakurugenzi wa Wanene Entertainment Studio Bw. Darish Pandit(kushoto) kwa kuhusu maeneo mbalimbali ndani ya studio hiyo  Julai 29, 2016 Jijini Dar es Salaam. 

Mtayarishaji wa video kutoka kampuni ya Wanene Entertainment Studio Bw. Hanscana akimuonesha Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura  (aliyekaa) naamna kazi za video zinavyotengenezwa mara baada ya kurekodiwa katika maeneo mbalimbali alipotembelea studio hiyo mara baada ya kuizindua rasmi Julai 29, 2016 Jijini Dar es Salaam.  

Baadhi ya wadau waliohudhulia hafla ya uzinduzi wa studio ya kisasa ya Wanene Entertainment Julai 29, 2016 Jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura ( wa tatu kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wakurugenzi wa studio za kisasa za Wanene Entertainment na wa tatu kushoto ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi Joyce Fissoo.

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: WASANII WAASWA KUZINGATIA MAADILI KATIKA UTENGENEZAJI KAZI ZAO Rating: 5 Reviewed By: SIMAMA BUKOBA