Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar
es Salaam, Kamishna wa Polisi (CP), Simon Sirro akizungumza katika
mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam leo, wakati
akitangaza kiama kwa mwananchi yeyote atakayefanya maandamano Septemba
Mosi ya kupinga udikiteta Tanzania yaliyoandaliwa na Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Magari ya polisi yenye zaidi ya askari 80 yakiondoka Kituo cha Polisi cha Kati, yakielekea Vikindu kwa ajili ya Operesheni saka majambazi.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Askari wa kikosi maalumu cha kupambana na uhalifu wakiondoka Kituo Kikuu cha Polisi cha Kati kuelekea Vikindu kwa operesheni maalumu ya kuwasaka watu wanaotuhumiwa kwa ujambazi.
0 comments:
Post a Comment