Wageni kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika na Ulaya,
pamoja na wanasayansi wa anga, wapo katika mji wa Rujewa mkoani Mbeya
kusini,Magharibi mwa Tanzania, kushuhudia tukio la kihistoria la kupatwa
kwa jua kwa kiwango cha asilimia 97 kwa mujibu wa wataalam wa masuala
ya anga.
Tukio kama hilo hutokea baada ya miaka mingi,ambapo tukio la mwisho,lilikuwa mwaka 1977.
0 comments:
Post a Comment