TANGOZO

TANGOZO
Latest News
Sunday, September 11, 2016

UVCCM WATOA POLE TETEMEKO LA ARDHI KANDAYA ZIWA

Majeneza ya miili ya watu waliopoteza maisha jana kutokana na tetemeko la ardhi lililopokea mjini Bukoba mkoani Kagera waombolezaji watatoa heshima zao za mwisho na kuaga miili ya marehemu hao leo kwenye uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba ambapo Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa ataongoza wananchi wa Bukoba kutoa heshima za mwisho kwa miili ya  marehemu hao.
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: UVCCM WATOA POLE TETEMEKO LA ARDHI KANDAYA ZIWA Rating: 5 Reviewed By: SIMAMA BUKOBA