Mkurugenzi Msaidizi Utekelezaji wa Katiba kutoka Wizara ya
Katiba na Sheria, Bw. Kamana Stanley (kushoto) akizungumza na waandishi
wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusu kuanza kutekelezwa kwa Sheria
ya Kuwalinda Watoa Taarifa za Uhalifu na Mashahidi ya mwaka 2016
inayolenga kuimarisha utawala bora na mapambano dhidi ya uhalifu nchini.
Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa wizara hiyo
Sheiba Bullu.
Monday, September 5, 2016
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment