Katika kipindi cha uchaguzi tunasikia maneno mengi nayenye lugha nzuli za KIZALENDO zenye
kuvutia toka kwa wagombea wetu. Lakine Je? tunafahamu sifa za kiongozi tunae mchaguwa, baadhi ya sifazenyewe ni hizi zifuatazo:-
(i) Mwaminifu
(ii) Mkweli na mfuatiliaji wa mambo kwa umakini
(iii) Mchapa kazi
(iv) Mwenye huruma
(v) Mwenye upendo
(vi) Mcha Mungu
(vii) Asiweke masilahi yake binafsi
(viii) Msikilizaji mzuri
(ix) Mwenye ushawishi mkubwa
(x) Mwenye utayari
(xi) Anae penda kushauliwa
0 comments:
Post a Comment