Mshambuliaji wa Brazil Neymar atakosa michuano yote ya kombe la Copa America baada ya kupigwa marufuku ya mechi nne. Mchezaji huyo wa miaka 23 kutoka kilabu ya Barcelona alionyeshwa kadi
nyekundu kwa kuzozana na wachezaji wa Colombia baada ya Brazil kushindwa
na Colombia 1-0 katika mechi ya makundi.
Saturday, June 20, 2015
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment