Chui katika mbuga moja ya wanyama pori nchini China wamemmuua mwanamke mmoja na kumjeruhi mwinngine baada ya wawili hao kuondoka ndani ya gari lao.
Vyombo vya habari
vilichapisha picha zikionyesha mmoja wa wanawake hao wakitoka kwenye
gari na kusimama nje kabla ya kushambuliwa kwa haraka na Chui na kisha
kuburutwa.
Mwanamke wa pili aliuawa wakati alitoka ndani ya gari
akijaribu kumuokaa mwenzake wakati yeye mwenyewe alishambuliwa na Chui
mwingine.
Wageni katika mbuga ya Badaling mjini Beijing,
huruhusiwa kuendesha magari yao ndani ya mbuga lakini mara nyingi
hushauriwa kutotoka nje ya magari yao.
0 comments:
Post a Comment