Katibu Mkuu Wizara ya Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga
akisalimiana na wazee alipotembelea Makazi ya kulea wazee ya Kolandoto
leo Mkoani Shinyanga.
Afisa Mfawidhi wa Makazi ya Kulea
Wazee ya Kolandoto Bi.Sophia Kang’ombe akimkabidhi taarifa ya kituo
hicho Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na
Watoto Bi. Sihaba Nkinga wazee alipotembelea Mkazi hayo leo Mkoani
Shinyanga.
Afisa Mfawidhi wa Makazi ya Kulea
Wazee ya Kolandoto Bi.Sophia Kang’ombe akimuleza Katibu Mkuu Wizara ya
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga
(kulia) changamoto za Makazi hayo na kumuomba kusaidia kusimamia
utatuliwaji wa matatizo hayo ikiwemo ujenzi wa majengo kwa ajili ya
malazi ya wazee hao, Katikati ni Afisa Maendeleo ya Jamii kutoka Wizara
ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Amina.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akiongea
na Wazee wanaoishi katika Makazi ya Kulea Wazee ya Kolandoto leo Mkoani
Shinyanga na kuwahakikishia serikali kuendelea kuwasaidia kutatua
changamoto zinazowakabili ili kuwawezesha kuishi katika mazingira
rafiki. Katikati ni Afisa Maendeleo ya Jamii kutoka Wizara hiyo Bi.
Amina… na kushoto ni Afisa Mfawidhi wa Makazi ya Kulea Wazee ya
Kolandoto Bi.Sophia Kang’ombe
Afisa Mfawidhi wa Makazi ya Kulea
Wazee ya Kolandoto Bi.Sophia Kang’ombe akimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga
sehemu ya nyumba zinazohitaji ujenzi kwa ajili ya Makazi ya Wazee hao.
Wakati wa Ziara ya Kutembelea Makazi ya Wazee na kuona hali halisi ya
makazi hao.
0 comments:
Post a Comment