Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni
Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mhandisi Hamad
Masauni akizungumza katika kikao cha Baraza hilo cha kujadili Mkakati wa
Kupunguza Ajali nchini. Kikao hicho kilifanyika katika Ukumbi wa
Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Kulia meza kuu ni
Katibu wa Baraza hilo ambaye pia ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama
Barabarani nchini, Naibu Kamishna, Mohamed Mpinga. Picha zote na Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni
Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mhandisi Hamad
Masauni (kushoto meza kuu) akimsikiliza Mjumbe wa Kikao hicho, ambaye
pia ni Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Dk. Zakaria
Mganilwa (kulia) alipokuwa anachangia mawazo katika Kikao cha kujadili
Mkakati wa Kupunguza Ajali nchini. Kikao hicho kilifanyika katika Ukumbi
wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Kulia meza kuu ni
Katibu wa Baraza hilo ambaye pia ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama
Barabarani nchini, Naibu Kamishna, Mohamed Mpinga. Picha na Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi.
Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni
Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mhandisi Hamad
Masauni akizungumza katika kikao cha Baraza hilo cha kujadili Mkakati wa
Kupunguza Ajali nchini. Kikao hicho kilifanyika katika Ukumbi wa
Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam leo na kuhudhuriwa na
wajumbe mbalimbali wa Baraza hilo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi.
Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni
Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mhandisi Hamad
Masauni (kushoto meza kuu) akimsikiliza Katibu wa Baraza hilo ambaye pia
ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Naibu Kamishna,
Mohamed Mpinga (kulia meza kuu) alipokuwa akizungumza katika Kikao cha
kujadili Mkakati wa Kupunguza Ajali nchini. Kikao hicho kilifanyika
katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
0 comments:
Post a Comment