Leo July 23 2016 Rais John Pombe Magufuli amekabidhiwa rasmi nafasi ya uenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM baada ya kupigiwa kura za ndio 2398 kutoka kwa wanachama wa chama hicho ambapo hakuna kura hata moja ya hapana wala iliyoharibika.
Baadhi ya
viongozi wakiwemo wa vyama vya upinzania walishiri akiwemo mwenyekiti wa
TLP Augustino Mrema, lakini wapo pia waliotamani kufikisha hisia zao
kuhusu tukio hilo na mmojawapo ni mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe
kupitia account yake ya facebook aliandika maneno haya.............
0 comments:
Post a Comment