July 16 2016 tamasha la Zanzibar International Film Festival ‘ZIFF’
limefanyika Zanzibar huku likiwakusanya watu kutoka mataifa mbalimbali
duniani, hili ni tamasha ambalo limekuwa likijikita zaidi katika kukuza
sanaa ya filamu nchini na kwa leo limewatunuku tuzo baadhi ya mastaa
ambao baadhi yao nimekusogezea hapa chini.
Saturday, July 16, 2016
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment