Tasnia ya Filamu Tanzania imepata msiba, R.I.P Mchekeshaji Kundambanda.
July 22 2016 ripoti zilianza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kwa
baadhi ya mastaa wa vichekesho nchini zikionyesha taarifa ya kufariki
kwa mmoja kati ya wachekeshaji maarufu nchini Tanzania, Ismail Issa Makombe ‘Baba Kundambanda’ kutoka
kwenye maigizo ya Vituko Show.
Taarifa za awali zinadai kuwa amefariki
akiwa nyumbani kwao Masasi, Mtwara, endelea kuwa karibu na simamabukoba.com kwa taarifa zaidi.
0 comments:
Post a Comment