

Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto) akimuapisha ACP Sida Mohamed Himid kuwa Naibu Katibu Mkuu,
Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ,
anayeshuhulikia Idara Maalum za SMZ,katika hafla iliyofanyika ukumbi wa
Ikulu Mjini Unguja.

0 comments:
Post a Comment