Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Nd,Hassan
Khatib Hassan kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya
Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana,Wanawake na Watoto,atayeshuhulikia masuala
ya Wazee,Vijana,Wanawake na Watoto,katika hafla iliyofanyika ukumbi wa
Ikulu Mjini Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akipeana mkono wa
shukurani na Nd,Hassan Khatib Hassan,baada ya kumuapisha kuwa Naibu
Katibu Mkuu, Wizara ya Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana,Wanawake na
Watoto,atayeshuhulikia masuala ya Wazee,Vijana,Wanawake na
Watoto,katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto) akimuapisha ACP Sida Mohamed Himid kuwa Naibu Katibu Mkuu,
Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ,
anayeshuhulikia Idara Maalum za SMZ,katika hafla iliyofanyika ukumbi wa
Ikulu Mjini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akitia saini hati ya
kiapo ya ACP Sida Mohamed Himid baada ya kumuapisha kuwa Naibu Katibu
Mkuu, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za
SMZ, anayeshuhulikia Idara Maalum za SMZ, katika hafla iliyofanyika
ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja.
0 comments:
Post a Comment