Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
anayesimamia sekta ya Mawasiliano Prof. Faustin Kamuzora (kushoto)
akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa shirika la maendeleo la Ujerumani
(GIZ) Dkt. Regine Qualmann kuhusu ushirikiano baina ya Wizara na
shirika hilo katika upande wa Tehama .
Mwakilishi Mkazi wa shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) Dkt. Regine Qualmann (katikati) akizungumza jinsi wanavyoitumia TEHAMA katika kufikisha huduma, (kushoto) ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayesimamia sekta ya Mawasiliano Prof. Faustin Kamuzora na (Kulia) ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Mhandisi Dkt. Maria Sasabo.
0 comments:
Post a Comment