Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Badhi ya Mawaziri na
viongozi wa mkoa wa Dodoma baada ya kukagua ujenzi wa makazi mapya ya
Waziri Mkuu kwenye kilima cha Mlimwa mjini Dodoma Septemba 7,2016.
Katikati ni mkewe Mary.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
0 comments:
Post a Comment