Pigano la marudiano kati ya bingwa
wa ndondi katika uzani mzito duniani Tyson Fury's dhidi ya Wladmir
Klitscko limethibitishwa kufanyika Octoba 29.
Pigano hilo litafanyika katika ukumbi wa Manchester.
''Ninafurahi kwamba tutapigana tena.sasa tutalenga kuwapatia mashabiki kile walichokitaka'',alisema meneja wa Tyson Fury na mjombake Peter.
Klitschko alikuwa hajawahi kushindwa kwa miaka 11 na alimiliki mikanda hiyo tangu mwaka 2006 kabla ya kupoteza kwa Fury mjini Dusseldorf kwa wingi wa pointi.
0 comments:
Post a Comment