Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsalimia Mkuu wa Majeshi
Mstaafu, Jenerali David Msuguri wakati alipokwenda kwenye hospitali ya
Jeshi ya Lugalo jijini Dar es salaam kuona wagonjwa baada ya kushiriki
sala ya Iddi El Haji kwenye uwanja wa Mwembe Yanga, Temeke jijini Dar es
salaam Septemba 12, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (kulia) wakiwajulia hali wagonjwa wakati walipokwenda kwenye hospitali ya Jeshi ya Lugalo jijini Dar es salaam kuona wagonjwa baada ya kushiriki sala ya Iddi El Haji kwenye uwanja wa Mwembe Yanga, Temeke jijini Dar es salaam Septemba 12, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
0 comments:
Post a Comment