Sheikh wa mkoa Kagera aongoza maelfu ya watu katika swala ya iddilhaj mjini Bukoba Manispa katika wa wanja wa shule ya jamia.
Sheikh awaambia waislamu kuwa kitia kitabu kitukufu (Quran) mungu anasema katika dariri zakiama ni ni pamoja na kupatwa kwa jua na mwezi, teemeko la ardhi pamoja na matukio mengine makubwa na yakutisha.
Awaelimisha Watanzainia kuwa waashe fikla potovu kuwa kupatwa kwa jua na mwezi kuna uhusiano na tetemeko la ardhi.
Pia wahasa wazazi kuto waoza watoto pindi wanapo hitimu darasa la saba7 kwani kufanya hivyo ni kuwakosesha hakizao za msingi.
0 comments:
Post a Comment