Msanja Mkandamizaji akitoa neno huku akitumia kipaji chake cha
uchekeshaji siku ya Jumamosi Septemba 17, 2016 kwenye siku ya tamasha la
utamaduni wa Afrika Mashariki lililofanyika Olney, Maryland nchini
Marekani. Katika onyesho hilo kulikuwepo na vikundi mbalimbali vya
utamaduni kutoka Afrika Masahariki, wakiwembo wasanii wa nyimbo za
injili na onyesho la mavazi kutoka nchi tano zinazounda jumuiya hiyo. Na
mapema mchana tamasha lilianzia na nyama choma.
Masanja Mkandamizaji akifanya vitu vyake.
0 comments:
Post a Comment