Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) Prof.
Abdulkarim Mruma (aliyeshika panga) akitoa ufafanuzi juu ya uvumi
kuwepo volcano leo katika eneo la Katarabuga, kata ya Bwanjai wilaya ya
Misenyi. Eneo la mbele waliposimama wananchi na viongozi lililoungua
ndio limeungua moto na kusadikiwa kuwa ni volcano hatua ambayo
imekanushwa na Mtendaji Mkuu wa Jioloji badala yake ulikuwa huo moto
kawaida. Eneo la mbele waliposimama wananchi na viongozi lililoungua
ndio lilisadikiwa kuwa ni volcano hatua ambayo imekanushwa na Mtendaji
Mkuu wa Jioloji badala yake ulikua ni moto wa kawaida.
Wananchi wakiwa katika eneo la Katarabuga, kata ya Bwanjai
wilaya ya Misenyi ilipodaiwa kuwepo kwa volcano hatua ambayo imekanushwa
na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) Prof. Abdulkarim
Mruma badala yake amesema huo ulikuwa ni moto wa kawaida. Eneo la mbele
waliposimama wananchi na viongozi lililoungua ndio lilisadikiwa kuwa ni
volcano hatua ambayo imekanushwa na Mtendaji Mkuu wa Jioloji badala yake
ulikuwa ni moto wa kawaida.Wananchi wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Misenyi Luteni Kanali Denis Mwila (aliyevaa koti jeusi) eneo la Katarabuga, kata ya Bwanjai wilaya ya Misenyi ilipodaiwa kuwepo kwa volcano hatua ambayo imekanushwa na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) Prof. Abdulkarim Mruma badala yake amesema huo ulikuwa ni moto wa kawaida.
Baadhi ya viongozi wakiwasili eneo katika eneo la Katarabuga, kata ya Bwanjai wilaya ya Misenyi ilipodaiwa kuwepo kwa volcano hatua ambayo imekanushwa na Mtendaji Mkuu wa Jiolojia badala yake huo ulikuwa ni moto wa kawaida.
0 comments:
Post a Comment