Ndugu wa Marehemu Daudi Mwangosi mama Mfugale kushoto
akitoka mahakama kuu kanda ya Iringa akiwa na furaha baada ya hukumu
ya kesi hiyo kutolewa leo kwa askari aliyeuwa kufungwa jela miaka
15 Picha zote na MatukiodaimaBlog.
Mjane wa marehemu Daudi Mwangosi Itika Mwangosi mwenye kilemba cheusi akiwa katika foleni ya ukaguzi wa polisi ili kuingia mahakama kuu kanda ya Iringa leo.
Mjane wa marehemu Daudi Mwangosi Itika Mwangosi mwenye kilemba cheusi akiwa katika foleni ya ukaguzi wa polisi.
Mjane wa marehemu Daudi Mwangosi Itika Mwangosi mwenye kilemba cheusi akifurahi jambo na ndugu yake mzee Marko Mfugale mahakamani hapo leo.
Mdogo na marehemu Mwangosi Bw Mecky Mwangosi kulia akisalimiana na Rais wa UTPC Deo Nsokolo kabla ya mahakama kuanza leo
Rais wa umoja wa klabu za waandishi wa habari Tanzania Bw Deo Nsokolo akizungumza na wanahabari baada ya hukumu ya kesi ya mauwaji ya Mwangosi
Wanahabari mkoa wa Iringa wakimsikiliza Bw Nsokolo leo
Wanahabari wakiwa nje ya viwanja vya mahakama baada ya kesi kumalizika
Mjane wa marehemu Daudi Mwangosi akizungumza na wanahabari ikiwa ni pamoja na kuwashukuru kwa umoja wao.
Mjane wa marehemu Daudi Mwangosi Itika Mwangosi mwenye kilemba cheusi akiwa katika foleni ya ukaguzi wa polisi ili kuingia mahakama kuu kanda ya Iringa leo.
Mjane wa marehemu Daudi Mwangosi Itika Mwangosi mwenye kilemba cheusi akiwa katika foleni ya ukaguzi wa polisi.
Mjane wa marehemu Daudi Mwangosi Itika Mwangosi mwenye kilemba cheusi akifurahi jambo na ndugu yake mzee Marko Mfugale mahakamani hapo leo.
Mdogo na marehemu Mwangosi Bw Mecky Mwangosi kulia akisalimiana na Rais wa UTPC Deo Nsokolo kabla ya mahakama kuanza leo
Rais wa umoja wa klabu za waandishi wa habari Tanzania Bw Deo Nsokolo akizungumza na wanahabari baada ya hukumu ya kesi ya mauwaji ya Mwangosi
Wanahabari mkoa wa Iringa wakimsikiliza Bw Nsokolo leo
Wanahabari wakiwa nje ya viwanja vya mahakama baada ya kesi kumalizika
Mjane wa Mwangosi Itika Mwangosi mwenye kilemba akitoka
mahakamani hapo huku akiwa na uso wa furaha baada ya hukumu kutolewa
kwa muuaji kufungwa miaka 15 jela
Mjane wa Mwangosi akiwa katika viwanja vya mahakama kuu kanda ya Iringa |
0 comments:
Post a Comment