TANGOZO

TANGOZO
Latest News
Wednesday, July 27, 2016

ASKARI ALIYE MUUA MWANDISHI WA HABARI DAUDI MWANGOSI AFUNGWA JELA MIAKA 15

Ndugu  wa Marehemu  Daudi  Mwangosi  mama Mfugale  kushoto  akitoka mahakama  kuu kanda  ya  Iringa akiwa na furaha baada ya  hukumu ya  kesi  hiyo  kutolewa leo kwa askari  aliyeuwa  kufungwa  jela miaka 15 Picha zote na MatukiodaimaBlog.

Mjane  wa marehemu Daudi  Mwangosi Itika Mwangosi mwenye  kilemba cheusi  akiwa katika  foleni ya ukaguzi  wa polisi ili   kuingia mahakama kuu kanda  ya  Iringa leo.

Mjane  wa marehemu Daudi  Mwangosi Itika Mwangosi mwenye  kilemba cheusi  akiwa katika  foleni ya ukaguzi  wa polisi.

Mjane  wa marehemu Daudi  Mwangosi Itika Mwangosi mwenye  kilemba cheusi  akifurahi jambo na ndugu  yake  mzee Marko Mfugale mahakamani  hapo  leo.

 
Mdogo  na marehemu  Mwangosi Bw Mecky  Mwangosi kulia  akisalimiana na Rais  wa UTPC Deo Nsokolo kabla ya mahakama  kuanza  leo
Rais  wa umoja  wa klabu  za waandishi wa habari Tanzania Bw  Deo Nsokolo  akizungumza na wanahabari  baada ya hukumu ya kesi ya mauwaji  ya  Mwangosi
 Wanahabari  mkoa wa Iringa  wakimsikiliza Bw Nsokolo leo



 Wanahabari  wakiwa nje ya viwanja  vya mahakama baada ya  kesi  kumalizika

Mjane  wa Mwangosi Itika  Mwangosi  mwenye  kilemba  akitoka mahakamani hapo huku akiwa na uso wa furaha  baada ya  hukumu  kutolewa kwa  muuaji kufungwa miaka 15  jela

Mjane  wa Mwangosi  akiwa katika  viwanja  vya mahakama  kuu kanda  ya Iringa
  
Mjane  wa marehemu Daudi Mwangosi  akizungumza na  wanahabari ikiwa ni  pamoja na  kuwashukuru kwa  umoja  wao.

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: ASKARI ALIYE MUUA MWANDISHI WA HABARI DAUDI MWANGOSI AFUNGWA JELA MIAKA 15 Rating: 5 Reviewed By: SIMAMA BUKOBA