Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu, Bunge,
Kazi,Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (Kushoto)
akiongea leo jijini Dar es Salaam na Watendaji Wakuu na Watumishi wa
Wizara na Taasisi zilizo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu kuhusu
utekelezaji wa kuhamia Dodoma, Kulia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya
Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu), Dr. Abdallah Possi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu, Sera, Uratibu, Bunge, Kazi,Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu,
Mhe. Jenista Mhagama (Kushoto) akiongea leo jijini Dar es Salaam na
Watendaji Wakuu na Watumishi wa Wizara na Taasisi zilizo chini ya Ofisi
ya Waziri Mkuu kuhusu utekelezaji wa kuhamia Dodoma, Kulia ni
Naibu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu), Dr. Abdallah
Possi.
Baadhi ya Watendaji Wakuu na Watumishi wa Wizara na Taasisi
zilizo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu wakimsikiliza Waziri Jenista
Mhagama wakati wa kikao kuhusu utekelezaji wa kuhamia Dodoma.
0 comments:
Post a Comment