Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali Bw. Kassian Chibogoyo (kulia)
akionesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) rangi sahihi
zinazotakiwa kutumika katika bendera ya Taifa wakati akielezea umuhimu
wa wananchi kutumia vielelezo sahihi vya Taifa na kuachana na vile vya
kughushi, kulia ni Afisa Habari toka Idara ya Habari (Maelezo) Bw. Frank
Shija.
Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali Bw. Kassian Chibogoyo (katikati)
akionesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) baadhi ya vielelezo
sahihi vya Taifa vinavyotakiwa kutumiwa na wananchi wakati alipokuwa
akielezea umuhimu wa wananchi kutumia vielelezo sahihi vya Taifa na
kuachana na vile vya kughushi mapema hii leo Jijini Dare s Salaam kulia
ni Afisa Habari toka Idara ya Habari (Maelezo) Bw. Frank Shija na
kushoto ni Afisa Habari toka Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Nyamagori Omari.
0 comments:
Post a Comment