Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa
hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza
hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi
wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?
Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii
500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto:
sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva
ananipaga 1,000Tsh.
Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA: WAMASAI: Mama Yeyo nipe
ile kitu namesa mwensake WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform
WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi WAPEMBA: Mama Ali
panua paja mti waja! WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*# Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"
Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake,
Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja
wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa
Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa
haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa......!
Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; "
Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza
hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama"
Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe
na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"
Mchaga. Mchaga alipata ajali
alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi
akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika
mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi
alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa:
Yeuwi... Wamefunga duka?
Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem
wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni
ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho
hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi
aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"
Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba
"jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu
leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo
maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."
0 comments:
Post a Comment