Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, leo
akiwa katika sherehe ya siku ya Mashujaa, amesema kuwa atahamia Dodoma
kama ahadi waliyoitoa mwezi wa 9 na mawaziri wote wamfuate.
Rais Magufuli aliahidi katika kipindi cha uongozi wake Serikali yote itahamia Dodoma.
Juzi katika mkutano wa CCM, Rais Magufuli alikumbushia ahadi hiyo ya
kuhamia Dodoma na kusema kuwa kabla hajamaliza miaka yake 5 Serikali
yote itakuwa mjini Dodoma.
0 comments:
Post a Comment