Mwanamuziki wa Marekani Beyonce alitawala tuzo za muziki za MTV mjini New York siku ya Jumapili akijipatia mataji saba.
Beyonce aliwasili katika tamasha hiyo na mama zao wanaume wanne Wamarekani weusi ambao vifo vyao vilizua hisia kali.
Msanii Rihanna alitunukiwa tuzo ya mchango wake katika usanii kufikia sasa akiwa na umri wa miaka 28 pekee.
0 comments:
Post a Comment