Mkuu
wa Wilaya ya Chato Shaban Ntlambe(katikati) akipokea vifaa vya masomo
ya Sayansi (Fizikia,Baiolojia na Kemia)vya Shule ya Sekondari Chato
vyenye thamani ya Sh 30 Milioni, kutoka
kwa Kaimu Mkurugenzi wa Kanda ya Ziwa wa Mtandao wa Tigo Edgar
Mapande(kushoto),kwenye halfa iliyofanyika shuleni hapo mwishoni mwa
wiki.KuliaMkuu wa Shule hiyo Bernado Selema
Mkuu
wa Wilaya ya Chato Shaban Ntlambe(katikati) akipokea vifaa vya masomo
ya Sayansi (Fizikia,Baiolojia na Kemia)vya Shule ya Sekondari Chato
vyenye thamani ya Sh 30 Milioni, kutoka
kwa Kaimu Mkurugenzi wa Kanda ya Ziwa wa Mtandao wa Tigo Edgar
Mapande(kushoto),kwenye halfa iliyofanyika shuleni hapo mwishoni mwa
wiki.Kulia ni Mkuu wa Shule hiyo Bernado Selema
Wanafunzi
wa Shule ya Sekondari Chato wakifuatilia matukio wakati wa kupokea
vifaa vya masomo ya Sayansi (Fizikia,Baiolojia na Kemia) vyenye thamani
ya Sh 30 Milioni kutoka kampuni ya Tigo.
0 comments:
Post a Comment