''Binti yetu ataitwa Josina - Umm Kulthum. Josina kwa heshima ya mwanamama mpigania Uhuru wa Kusini mwa Afrika, Josina Muthembi Machel wa FRELIMO. Umm Kulthum kwa heshima ya mama yangu mdogo na pia jina la binti wa Mtume Muhammad (SAW)''
''Tunamshukuru mungu kwa Baraka hizi za mtoto Josina - Umm Kulthum Zitto'' Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
0 comments:
Post a Comment